Nenda kwa yaliyomo

Mafuriko ya 2022 huko Kinshasa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mafuriko baada ya mvua mjini Kinshasa.

Mafuriko ya 2022 huko Kinshasa yalianza mnamo Desemba 12, 2022, wakati mvua kubwa iliacha barabara nyingi, miundombinu, na vitongoji chini ya maji au kuharibiwa huko Kinshasa, mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Uharibifu

[hariri | hariri chanzo]

Barabara nyingi katikati ya jiji zilifurika huku mvua kubwa ikiendelea kunyesha kwa saa kadhaa. Watu 141 wamefariki katika mafuriko hayo. Watu wengi walikufa kutokana na maporomoko ya ardhi yaliyosababishwa na mvua kubwa. Nyumba 280 zilibomoka na nyingine zaidi ya 38,000 ziliathiriwa na mafuriko. Watu milioni kumi na mbili, wengi wa wakazi wa jiji hilo, waliathiriwa na mafuriko hayo[1].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mafuriko ya 2022 huko Kinshasa kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.