Mael Ruba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mael Ruba (pia: Máelrubai, Maol Rubha, MoRubha, MaRuibhe, Malruibhe, Rufus; Bangor, Ireland, 642 hivi - Teampull, Sutherland, Uskoti, 722) alikuwa mmonaki huko Bangor, akawa mwanzilishi wa monasteri wa wamisionari katika nchi ya Uskoti (671) aliyoiinjilisha kwa miaka 50[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadimishwa tarehe 21 Aprili[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Reeves, William, 'Saint Maelrubha: His History and Churches', in Proceedings of the Society of Antiquaries of Scotland, III (1857–60), pp. 258–96
  • Thomson, Derick S. The Companion to Gaelic Scotland, (Blackwell Reference 1987), ISBN 0-631-15578-3
  • The Chronicles of Keith

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.