Mael Ruba
Mandhari
Mael Ruba (pia: Máelrubai, Maol Rubha, MoRubha, MaRuibhe, Malruibhe, Rufus; Bangor, Ireland, 642 hivi - Teampull, Sutherland, Uskoti, 722) alikuwa mmonaki huko Bangor, akawa mwanzilishi wa monasteri wa wamisionari katika nchi ya Uskoti (671) aliyoiinjilisha kwa miaka 50[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadimishwa tarehe 21 Aprili[2].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Reeves, William, 'Saint Maelrubha: His History and Churches', in Proceedings of the Society of Antiquaries of Scotland, III (1857–60), pp. 258–96
- Thomson, Derick S. The Companion to Gaelic Scotland, (Blackwell Reference 1987), ISBN 0-631-15578-3
- The Chronicles of Keith
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- St Maol Rubha
. Catholic Encyclopedia. New York: Robert Appleton Company. 1913.
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |