Maddalena Casulana

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Maddalena Casulana akipiga gitaa.

Maddalena Casulana (1544 - 1590) alikuwa mtunzi wa muziki wa Italia, mpiga gitaa na mwimbaji wakati wa Renaissance.

Maddalena ni mtunzi wa kike wa kwanza kuwa na kitabu cha miziki yake kilichochapishwa na kuhifadhiwa kama kumbukumbu ya muziki wa magharibi. [1][2]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Thomas W. Bridges. "Casulana, Maddalena." In Grove Music Online. Oxford Music Online, http://www.oxfordmusiconline.com/subscriber/article/grove/music/05155 (accessed January 10, 2010).
  2. Alternative names: Madalena Casulana di Mezarii, Madalena Casula.
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Maddalena Casulana kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.