Yangon

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jengo la Manispaa ya Yangon

Yangon (pia:Rangun) ni mji mkubwa wa Myanmar. Ilikuwa mji mkuu wa nchi hadi 2005.

Kuna wakazi zaidi ya milioni 4. Mji uko kando la mto Hlaing karibu na bahari.

Picha za Rangun[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Yangon kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.