Wizara ya Utamaduni na Utalii (Uturuki)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Wizara ya Utamaduni na Utalii (Kituruki: Kültür ve Turizm Bakanlığı) ni ofisi ya wizara ya serikali ya Jamhuri ya Uturuki, inahusika na masuala ya utamaduni na utalii nchini Uturuki.

Jengo la wizara ya utamaduni na utalii nchini Uturuki mwaka 2019
Jengo la wizara ya utamaduni na utalii nchini Uturuki

Kwa mwaka wa 2018, inaongozwa na Mehmet Ersoy.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. ktb.gov.tr (Turkish)

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]