Wilson Masilingi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Masilingi

Wilson Mutagaywa Masilingi (amezaliwa tar. 12 Julai 1956) ni mbunge wa jimbo la Muleba South katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mengi kuhusu Wilson Mutagaywa Masilingi". 13 Julai 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-20. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.