Wilaya ya Kyotera

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Wilaya ya Kyotera
Majiranukta: 00°38′N 31°33′E / 0.633°N 31.550°E / 0.633; 31.550
Nchi Bendera ya Uganda Uganda
mji mkuu Kasaali
Tovuti:  http://www.kyotera.go.ug

Wilaya ya Kyotera ni wilaya mojawapo ya Mkoa wa Kati, Uganda iliyoanzishwa tarehe 1 Julai 2018 kutokana na wilaya ya Rakai.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]