Ukuaji

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ukuaji wa mmea.
Ukuaji wa mmojawapo kati ya miji ya Chile.

Ukuaji (kwa Kiingereza "growth"[1]) ni mchakato wa kuongezeka au kuonyesha mabadiliko katika maumbile au mwonekano ule uliokuwepo awali.

Ukuaji unajumuisha mambo yafuatayo:

(a) Mabadiliko katika tabia

(b) Mabadiliko katika sifa

Ukuaji mara nyingi au moja kwa moja hutokea kwa Viumbe hai. Viumbe hai ndio wenye uwezo wa kuonyesha mabadiliko katika tabia na sifa zao kijumla.

Kwa mfano wao, hata miundo inaweza kusemwa kuwa inakua.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ukuaji kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.