Uhuru wa kupata taarifa ya habari

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Uhuru wa kupata habari (2003/4/EC) ni agizo la Umoja wa Ulaya lenye kichwa rasmi "Maelekezo 2003/4/EC ya Bunge la Ulaya na Baraza la 28 Januari 2003 kuhusu ufikiaji wa umma kwa taarifa za mazingira na kufuta magizo ya baraza 90/313/EEC".[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Sands, Philippe; Galizzi, Paolo (eds.), "Directive 2003/4/EC of the European Parliament and of the Council of 28 January 2003 on public access to environmental information and repealing Council Directive 90/313/EEC (OJ L 41 14.02.2003 p. 26)", Documents in European Community Environmental Law (Cambridge University Press): 344–356, retrieved 2022-05-07