Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 1997

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi


Uchaguzi Mkuu wa Kenya wa 1997 ndio ulikuwa wa pili katika Mfumo wa Vyama Vingi nchini Kenya. Ulifanyika tarehe 29 Desemba 1997.

Matokeo ya Urais[hariri | hariri chanzo]

Kulikuwa na wagombezi watano muhimu wa urais katika uchaguzi huu, huklu mmoja akiwa mwanamke wa kwanza kugomba urais nchini Kenya:

  1. Daniel Arap Moi
  2. Mwai Kibaki
  3. Raila Amollo Odinga
  4. Michael Wamalwa Kijana
  5. Charity Ngilu
    Miongoni mwa wengine
Chama Mgombea Idadi ya Kura %
KANU Daniel Arap Moi 2,500,856 40.60%
DP Mwai Kibaki 1,911,742 31.00%
NDP Raila Odinga 667,886 10.80%
FORD-K Kijana Wamalwa 505,704 8.20%
SDP Charity Ngilu 488,600 7.90%
Others Others 84,644 1.40%
Total 6,159,432
Waliojitokeza: 68.2% (Wapiga kura waliojiandikisha: 9,030,167)


Matokeo ya Urais Kimikoa[hariri | hariri chanzo]

Mkoa Moi % Kibaki % Raila % Wamalwa % Ngilu % Wengine % Wapigakura
Waliojiandikisha
Waliojitokeza
%
Kati 56,367 5.6% 891,484 89.4% 6,869 0.7% 3,058 0.3% 30,535 3.1% 9,347 0.9% 1,346,189 74.1%
Bonde la
Ufa
1,140,109 69.5% 343,529 21.0% 36,022 2.2% 102,178 6.2% 11,345 0.7% 6,232 0.4% 2,160,453 75.9%
Western 314,669 44.9% 9,755 1.4% 13,458 1.9% 338,120 48.2% 3,429 0.5% 21,496 3.1% 1,028,732 68.1%
Nyanza 215,923 23.6% 138,202 15.1% 519,180 56.8% 14,623 1.6% 15,301 1.7% 11,245 1.2% 1,361,251 67.2%
Mashariki 370,954 35.6% 296,335 28.5% 7,787 0.7% 7,017 0.7% 349,754 33.6% 8,916 0.9% 1,433,737 72.6%
Nairobi 75,272 20.6% 160,124 43.9% 59,415 16.3% 24,971 6.8% 39,707 10.9% 5,066 1.4% 726,779 50.2%
Coast 257,056 63.4% 51,909 12.8% 24,844 6.1% 11,306 2.8% 38,089 9.4% 22,180 5.5% 800,689 50.6%
Kaskazini
Mashariki
70,506 73.2% 20,404 21.2% 311 0.3% 4,431 4.6% 440 0.5% 162 0.2% 172,337 55.9%
Total 2,500,856 40.6% 1,911,742 31.0% 667,886 10.8% 505,704 8.2% 488,600 7.9% 84,644 1.4% 9,030,167 68.2%
Kiini: Electoral Commission of Kenya

Matokeo ya Ubunge[hariri | hariri chanzo]

(Wabunge 222, 12 wakiteuliwa na rais, 210 wakichaguliwa na raia kutumikia kipindi cha miaka mitano)

Chama Viti
KANU 107
DP 39
NDP 21
Ford-Kenya 17
SDP 15
SAFINA 5
Ford-People 3
Ford-Asili 1
Vyama vidogo 2
  • Viti vilivyoteuliwa na rais—KANU 6, DP 2, FORD-Kenya 1, SDP 1, NDP 1, SAFINA 1

[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. http://www.umsl.edu/services/govdocs/wofact98/134.htm Archived 3 Juni 2010 at the Wayback Machine. Results from World Factbook 1998

Out for the Count: The 1997 General Elections and Prospects for Democracy in Kenya, Rutten, Marcel et al Eds., Uganda, Fountain, 2001.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]