Mradi wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka UNDP)
Ngao ya Umoja wa Mataifa.
Nembo ya UNDP.

Mradi wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (Kiingereza: United Nations Development Programme; kifupi: UNDP) ni chombo cha Umoja wa Mataifa (UM) kinachochukua dhima ya kusaidia nchi kufuta umaskini na kuleta maendeleo endelevu ya uchumi na watu wote. UNDP husisitiza kuendeleza uwezo ndani ya nchi kuelekea kujitegemea na usitawi

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu "Mradi wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa" ni fupi mno. Inahitaji kupanuliwa mapema.