Theodosi wa Kiev

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha takatifu ya Mt. Theodosi.

Theodosi wa Kiev au Theodosi Pekerski (kwa Kirusi Феодосий Печерский; kwa Kiukraina Феодосій Печерський; Vasylkiv, 1009 - Kiev, 3 Mei 1074) alikuwa mmonaki wa karne ya 11 aliyeleta umonaki wa kijumuia kadiri ya kanuni ya Theodori wa Studion katika sehemu za Kiev (leo nchini Ukraina) na pamoja na Antoni wa Kiev alianzisha monasteri maarufu ya Mapango ya Kiev.

Alitangazwa na Kanisa la Kiorthodoksi la Urusi kuwa mtakatifu. Anaheshimiwa hivyo na Kanisa Katoliki pia.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 3 Mei[1][2] lakini pia tarehe 14 Agosti.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.