Themanini na tisa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Themanini na tisa (au tisa na themanini) ni namba inayoandikwa 89 kwa tarakimu za kawaida na LXXXIX kwa zile za Kirumi.

Ni namba asilia inayofuata 88 na kutangulia 90.

89 ni namba tasa.

Matumizi[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya hisabati bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Themanini na tisa kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.