Tezi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Tezi ni ogani za mwili zinazotoa dutu za pekee ambazo ni muhimu kwa kazi ya mwili kwa jumla na hasa kwa ogani nyingine. Zinapatikana katika wanyama pamoja na wanadamu na pia katika mimea.

Kimsingi kuna aina mbili za tezi:

Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Tezi kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.