Szczecin

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Szczecin, Polandi

Szczecin (kwa lugha ya Kipolandi; kwa Kijerumani: Stettin) ni mji wa saba nchini Polandi kwa wingi wa watu na una bandari katika Bahari ya Baltiki.

Mji huo ulikuwa na wakazi 403,274 mnamo Juni 2018.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]


Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:

Coordinates: 53°25′57″N 14°32′53″E / 53.43250°N 14.54806°E / 53.43250; 14.54806

Makala hii kuhusu maeneo ya Poland bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Szczecin kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.