Sinodi ya maaskofu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Hii ni sehemu ya mfululizo kuhusu
Kanisa Katoliki
Imani

Umoja wa Mungu
Utatu (Baba, Mwana, Roho Mtakatifu)
Umwilisho Maisha ya Yesu
Msalaba Ufufuko Kupaa
Historia ya Wokovu Ufunuo
Biblia Mapokeo Ualimu Dogma
Neema Dhambi Wokovu Sakramenti
Watakatifu Bikira Maria

Muundo

Papa: Fransisko
Urika wa maaskofu Mitaguso mikuu
Kundi la Makardinali
Kanisa la Kilatini
Makanisa Katoliki ya Mashariki

Historia

Historia Ukristo
Ukatoliki Mlolongo wa Kitume
Sifa nne za Kanisa Utetezi Ekumeni
Maisha ya kiroho Amri Kumi Utawa
Sala Falsafa Teolojia
Muziki Sanaa Sayansi

Ibada

Liturujia Mwaka wa Kanisa
Ekaristi Liturujia ya Vipindi

Mapokeo ya liturujia

Liturujia ya Kilatini (Roma Liturujia ya Trento Milano Toledo Braga Lyon Canterbury)
Liturujia ya Armenia Liturujia ya Misri
Liturujia ya Ugiriki Liturujia ya Antiokia
Liturujia ya Mesopotamia

Sinodi ya maaskofu (kwa Kiingereza: Synod of Bishops) katika Kanisa Katoliki leo ni mkutano maalumu unaofanyika mara kwa mara ili kumshauri Papa kwa niaba ya maaskofu wote duniani. [1][2]

Sinodi hiyo ina sekretarieti ya kudumu mjini Roma.

Papa Fransisko ameendelea sera za watangulizi wake wa kuongeza mamlaka na athari ya sinodi hiyo katika Kanisa lote.[3] Kuanzia mwaka 2023 waumini kadhaa wasio maaskofu wala mapadri pia watakuwa na haki ya kupiga kura.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Kanuni 342 ya Sheria za Kanisa (CIC) inaifafanua hivi: "a group of bishops who have been chosen from different regions of the world and meet together at fixed times to foster closer unity between the Roman Pontiff and bishops, to assist the Roman Pontiff with their counsel in the preservation and growth of faith and morals and in the observance and strengthening of ecclesiastical discipline, and to consider questions pertaining to the activity of the Church in the world."
  2. "Summary of the synod assemblies", Synodal Information, Vatican City: General Secretariat of the Synod of Bishops, 15 September 2007 .
  3. http://www.ncregister.com/blog/edward-pentin/pope-francis-boosts-authority-of-the-synod-of-bishops

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sinodi ya maaskofu kama historia yake au maelezo zaidi?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.