Sabini na tisa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Sabini na tisa (au tisa na sabini) ni namba inayoandikwa 79 kwa tarakimu za kawaida na LXXIX kwa zile za Kirumi.

Ni namba asilia inayofuata 78 na kutangulia 80.

79 ni namba tasa.

Matumizi[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya hisabati bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sabini na tisa kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.