Preieto na Amarino

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu ya Mt. Preieto.

Preieto na Amarino (walifariki Volvic, 25 Januari 676) walikuwa mmoja askofu wa 25 wa Alvernia, leo Clermont-Ferrand, nchini Ufaransa, na mwingine abati au mlei ambao waliuawa pamoja na matajiri wa mji huo[1][2].

Tangu zamani wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini[3].

Sikukuu yao inaadhimishwa kila mwaka tarehe 25 Januari[4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Henry Hart Milman, History of Latin Christianity (T.Y. Crowell, 1881), 398.
  2. Barbara H. Rosenwein, Emotional Communities in the Early Middle Ages (New York: Cornell University Press, 2006), 170.
  3. http://www.santiebeati.it/dettaglio/92179
  4. Martyrologium Romanum

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.