Pozzuoli

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha ya muonekano wa Mji wa Pozzuoli

Pozzuoli ni mji wa mkoa wa Campania, Italia Kusini wenye wakazi 80,851 (2018).

Mwaka 61 bandari yake ilifikiwa na Mtume Paulo akielekea Roma.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Italia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Pozzuoli kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.