Mto Mbarali

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mto Mbarali ni kati ya mito ya mkoa wa Mbeya na mkoa wa Njombe (Tanzania Kusini Magharibi) ambao ni tawimto la Ruaha Mkuu ambao unapitia Iringa na tambarare ya Kilombero hadi kuishia katika mto Rufiji ambao unamwaga maji mengi katika bahari Hindi.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]