Mlupini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mlupini
(Lupinus spp.)
Mlupini mweupe
Mlupini mweupe
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Fabales (Mimea kama mharagwe)
Familia: Fabaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mharagwe)
Nusufamilia: Faboideae (Mimea inayofanana na mharagwe)
Jenasi: Lupinus
L.
Ngazi za chini

Spishi 12 za Afrika:

Milupini (Lupinus spp.) ni mimea ya nusufamilia Faboideae katika familia Fabaceae (miharagwe). Mbegu zao huitwa malupini. Spishi kadhaa hukuzwa ili kuvuna malupini kwa chakula cha watu, k.m. mlupini mweupe, mlupini majani-membamba, mlupini buluu na spishi ya Amerika ya Kusini Lupinus mutabilis. Spishi nyingine hukuzwa kwa malisho ya wanyama, k.m. mlupini mweupe, mlupini majani-membamba na mlupini njano. Lazima malupini yalowekwe katika maji na chumvi kwa muda wa siku kadhaa kabla kuyapika, kwa sababu yana sumu.

Spishi za Afrika[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mlupini kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.