Mkoa wa Mashariki (Uganda)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ramani.
Wilaya za Uganda; mkoa wa Mashariki una rangi ya kijani.

Mkoa wa Mashariki (kwa Kiingereza: Eastern Region) ni kati ya mikoa minne ya Uganda.

Kwa sasa linaundwa na wilaya 32.

Makao makuu yako Jinja.

Wakazi ni 9,042,422.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]