Mjoho kaki

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mjoho kaki
Mjoho kaki
Mjoho kaki
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Asterids (Mimea kama alizeti)
Oda: Ericales (Mimea kama mdambi)
Familia: Ebenaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mjoho)
Jenasi: Diospyros
L.
Spishi: Diospyros kaki
Thunb.

Mjoho kaki ni mti mkubwa kiasi ambao huzaa matunda yenye rangi ya machungwa. Majoho yana ukubwa wa chenza hadi chungwa. Mti huu ni miongoni mwa miti iliyopandwa tangu zamani sana. Asili yake ni katika Uchina.

Picha[hariri | hariri chanzo]