Milwaukee, Wisconsin

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mji wa Milwaukee, Wisconsin

Infobox Settlement |jina_rasmi = Milwaukee |picha_ya_satelite = Milwaukee Wisconsin 7952.jpg |pushpin_map = Marekani |pushpin_map_caption = Mahali pa Milwaukee katika Marekani |picha_ya_bendera = Flag of Milwaukee, Wisconsin.svg |ukubwa_wa_picha = 100px |picha_ya_seal = Seal of Milwaukee, Wisconsin.svg |seal_size = |settlement_type = Mji |subdivision_type = Nchi |subdivision_name = Marekani |subdivision_type1 = Jimbo |subdivision_name1 = Wisconsin |subdivision_type2 = Wilaya |subdivision_name2 = Milwaukee
Waukesha |wakazi_kwa_ujumla = 602191 |latd=43 |latm=03 |lats=08 |latNS=N |longd=87 |longm=57 |longs=21 |longEW=W |website = www.city.milwaukee.gov Archived 20 Aprili 2010 at the Wayback Machine.

}}

Milwaukee na Ziwa Michigan
Milwaukee, Wisconsin

Milwaukee ni mji mkubwa wa Wisconsin ya kusini. Ni mji wa ishirini na tatu kwa ukubwa katika Marekani. Iko kando ya Ziwa Michigan.

Mji una wakazi 602,191 (pamoja na mitaa ya nje: 1,739,497) kwenye eneo la 251 km².

Jina la Milwaukee latoka katika lugha ya Kialgonkian likimaanisha bara sheshe. Mji uliundwa mwaka 1818. Mji upo m 188 kutoka juu ya usawa wa bahari.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Milwaukee, Wisconsin kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.