Mforosadi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mforosadi
(Morus spp.)
Mforosadi mweusi (Morus nigra)
Mforosadi mweusi (Morus nigra)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Rosales (Mimea kama mwaridi)
Familia: Moraceae (Mimea iliyo na mnasaba na mforosadi)
Jenasi: Morus
L.
Ngazi za chini

Spishi 18 zimekubaliwa na The Plant List:

Miforosadi (pia mifurusadi) ni miti ya jenasi Morus katika familia Moraceae. Kwa kawaida miti hii si mikubwa sana. Matunda yao huitwa maforosadi na yale ya spishi kadhaa huliwa sana duniani. Majani ya mforosadi mweupe, na spishi nyingine pia, hutumika kwa kulisha viwavi wa nondo wa hariri.

Spishi[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]