Mchoro wa ukutani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchoro wa ukutani wa kale sana unaoonyesha pomboo kisiwani Krete, Ugiriki.
Mchoro wa darini huko abasia ya Melk, miaka ya 1600.
Ubatizo wa Kristo ulivyochorwa na Giotto huko Padua, Italia.

Mchoro wa ukutani (kwa Kiingereza "Fresco", kutoka neno la Kiitalia linalomaanisha "fresh") ni mchoro ambao unafanywa moja kwa moja ukutani, si unatundikwa juu yake.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Helen Gardner, Art Through the Ages, Harcourt, Brace and World Inc.
  • Ponnamperuma, Senani (2013). Story of Sigiriya. Melbourne: Panique Pty Ltd. ISBN 9780987345110.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]