Matunzio ya Kitaifa ya Sanaa ya Kisasa, Lagos

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Matunzio ya Kitaifa ya Sanaa ya Kisasa, Lagos.

Matunzio ya Kitaifa ya Sanaa ya Kisasa, Lagos ni jumba kuu la sanaa huko Lagos, jiji kubwa zaidi la Nigeria.

Ni maonyesho ya kudumu ya Matunzio ya Kitaifa ya sanaa, yaliyo chini ya shirika la serikali la Wizara ya Shirikisho ya Utalii, Utamaduni, na Mwelekeo wa Kitaifa. Nyumba hii ya sanaa iko ndani ya Ukumbi wa sanaa wa kitaifa, kwenye Mlango B.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "National Gallery of Art". web.archive.org. 2011-05-08. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-05-08. Iliwekwa mnamo 2022-03-16.