Manase (babu)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Yakobo akibariki Efraim na Manase.

Manase (kwa Kiebrania מְנַשֶּׁה, Menaše) alikuwa, kadiri ya Kitabu cha Mwanzo 41:50-52, mtoto wa kwanza wa Yosefu na Asenath, binti Potifera, kuhani wa On.

Manase alizaliwa nchini Misri kabla Yakobo Israeli na wanae hawajahamia huko kutoka Kanaani (Mwa 48:5).

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Manase (babu) kama habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.