Mabatini (Mbeya mjini)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Kata ya Mabatini
Kata ya Mabatini is located in Tanzania
Kata ya Mabatini
Kata ya Mabatini

Mahali pa Mabatini katika Tanzania

Majiranukta: 8°53′24″S 33°25′48″E / 8.89000°S 33.43000°E / -8.89000; 33.43000
Nchi Tanzania
Mkoa Mbeya
Wilaya Mbeya Mjini
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 6,872

Mabatini ni kata ya Mbeya Mjini katika Mkoa wa Mbeya, Tanzania.

Eneo la Mabatini liko kati ya kitovu cha kale cha Mbeya na kitovu kipya kwenye eneo la Forest. Soko la Matola pamoja na shule ya sekondari ya Meta ni sehemu ya Mabatini.

Katika sensa iliyofanyika mwaka 2022 wakazi walihesabika kuwa 6,872 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 7,415 [2] walioishi humo.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.nbs.go.tz
  2. Sensa ya 2012, Mbeya - Mbeya MC. Jalada kutoka ya awali juu ya 2004-01-02. Iliwekwa mnamo 2017-03-14.
Kata za Jiji la Mbeya - Tanzania

ForestGhanaIdudaIganjoIganzoIgawiloIlemiIlombaIsangaIsyesyeItaganoItendeIteziItijiIwambiIyelaIyungaIziwaKalobeMaangaMabatiniMaendeleoMajengoMbalizi RoadMwakibeteMwasangaMwasenkwaNondeNsalagaNsohoNzovweRuandaSindeSisimbaTembelaUyole


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Mbeya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mabatini (Mbeya mjini) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.