Kichujio

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kichujio kwenye orodha.

Katika utarakilishi na lugha ya programu, kichujio (kwa Kiingereza: filter) ni fomula saidizi inayoamrisha orodha ili kuumbwa muundo wa data mpya[1].

Mfano[hariri | hariri chanzo]

Kwa Python mfano wa kichujio ni[2] :

# Orodha wa herufi
herufi = ['a', 'b', 'd', 'e', 'i', 'j', 'o']

# fomula saidizi inayochuja vokali
def chujaVokali(herufi):
    vokali = ['a', 'e', 'i', 'o', 'u']

    if(vokali in herufi):
        return True
    else:
        return False

chujwaVokali = filter(chujaVokali, herufi)

print('Vokali zichujwa ni:')
for vokali in chujwaVokali:
    print(vokali)

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.