Kanisa la Kiinjili la Armenia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kanisa la Kiinjili la Armenia (kwa Kiarmenia: Հայաստանեայց Աւետարանական Եկեղեցի) lilianzishwa na Waarmenia 40 tarehe 1 Julai 1846 huko Istanbul (Uturuki).

Lengo lao lilikuwa kusisitiza Biblia kuliko mapokeo ya Kiarmenia.

Kwa sasa kuna makanisa 88 ya namna hiyo yaliyosambaa katika nchi zifuatazo: Argentina, Armenia, Australia, Ubelgiji, Brasile, Bulgaria, Canada, Cipro, Misri, Uingereza, Ufaransa, Georgia, Ugiriki, Iran, Lebanoni, Siria, Uturuki, Uruguay na Marekani.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Vahan H. Tootikian, The Armenian Evangelical Church, Armenian Heritage Committee Detroit, MI 1982
  • Rev. Hagop A. Chakmakjian, The Armenian Evangelical Church and The Armenian People

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kanisa la Kiinjili la Armenia kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.