Jönköping

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Chuo cha Watu wa Jönköping

Jönköping ni mji nchini Uswidi. Ni mji mkubwa wa tisa katika nchi ya Uswidi. Jönköping ni mji mkuu wa mkoa ya Småland. Kuna wakazi 125,154 (mwaka 2005).

Jiografia[hariri | hariri chanzo]

Eneo lake ni 44.33 km². Iko kando ya Ziwa Vättern.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Uswidi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Jönköping kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.