Juhudi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Buddha alifanya juhudi nyingi kabla ya kuhimiza wastani.[1] Fransisko wa Assisi pia alifanya juhudi nyingi.[2]

Juhudi (kutoka neno la Kiarabu juhudجهود) ni matumizi makubwa ya akili, ujuzi, maarifa na nguvu ili kujipatia maendeleo ya kiroho, ya kiuchumi n.k.

Dini nyingi zinahimiza juhudi katika maadili na maisha ya kiroho.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Randall Collins (2000), The sociology of philosophies: a global theory of intellectual change, Harvard University Press, ISBN|978-0674001879, page 204
  2. William Cook (2008), Francis of Assisi: The Way of Poverty and Humility, Wipf and Stock Publishers, ISBN|978-1556357305, pages 46-47

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

Wikiquote ina mkusanyiko wa dondoo kuhusu:
  • Valantasis, Richard. The Making of the Self: Ancient and Modern Asceticism. James Clarke & Co (2008) ISBN|978-0-227-17281-0.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Simple English Wiktionary
Simple English Wiktionary
Wikamusi ya Kiswahili ina maelezo na tafsiri ya maana ya neno:
  • Asketikos- articles, research, and discourse on asceticism.