Jeradi wa Potenza

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Jeradi katika kanisa kuu la Potenza.

Jeradi wa Potenza (Piacenza, Italia Kaskazini, karne ya 11 - Potenza, Italia Kusini, 1119) alikuwa askofu wa mji huo kuanzia mwaka 1111 akawa maarufu kwa miujiza yake[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu, ingawa alitangazwa na Papa Kalisti II mwaka uliofuata kifo chake bila maandishi[2].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 30 Oktoba[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.