Ijevan

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mji wa Ijevan

Ijevan (kwa Kiarmenia: Իջևան; pia kwa herufi za Kirumi huitwa Idzhevan na Idjevan; zamani Istibulagh, K’arvansara, Karavan Savan, K’aravansaray, Karavansarai, na K’ervansera) ni jiji na mji mkuu wa mkoa wa Tavush huko nchini Armenia. Ipo upande wa kaskazini mwa mkoa. Idadi ya wakazi wa mjini hapa ilikuwa kiasi cha 15 620 mnamo mwaka wa 2008 na kuufanya uwe mji wenye watu wengi sana kwa kanda yake. Takriban kilomita 142  kutoka mji mkuu wa Yerevan.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Armenia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ijevan kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.