Hamamözü

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mji wa Hamamözü

Hamamözü ni mji na wilaya iliopo katika Mkoa wa Amasya kwenye Kanda ya Bahari Nyeusi huko nchini Uturuki. Mji unachukua eneo la 202 km² na jumla la wakazi takriban 6,161 of ambao wengine wanaishi mjini ni 1,511.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Hamamözü kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.