Guy Verhofstadt

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Guy Verhofstadt

Guy Maurice Marie Louise Verhofstadt (amezaliwa 11 Aprili 1953) ni mwanasiasa kutoka nchi ya Ubelgiji. Alikuwa Waziri Mkuu wa Ubelgiji kuanzia 12 Julai 1999 hadi 20 Machi 2008.

Angalia Pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Guy Verhofstadt kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.