Ford Mustang

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mustang logo 2005-2022
Ford mustang
Ford mustang

Ford Mustang ni gari la michezo maarufu sana la Marekani lililoundwa na kampuni ya Ford Motor tangu 1964.

Magari ya kwanza yalitengenezwa katika kiwanda cha Ford Dearborn, Michigan Machi 9 wa mwaka huo na gari lilionekana kwanza kwa umma tarehe 17 Aprili huko New York.

Halikugharimu pesa nyingi, lakini bado lilikuwa dhana sana na linaonekana kama gari kubwa zaidi. Watu wanaweza kuagiza magari haya kwa aina nyingi na kwa machaguo yao wenyewe.

Magari haya yanaweza kuokoa mafuta na kwenda kwa kasi. Zaidi ya milioni moja ya magari haya ya Mustang yalinunuliwa kwa miaka miwili tu.

Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.