Federiko wa Utrecht

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Federiko.

Federiko wa Utrecht (Frisia, leo nchini Uholanzi, 780 hivi – Utrecht, leo nchini Uholanzi, 838 hivi) alikuwa askofu wa mji huo tangu mwaka 825 hivi hadi alipouawa.

Alikuwa maarufu kwa ujuzi wa Biblia na kwa juhudi katika uinjilishaji. [1].

Anaheshimiwa tangu zamani kama mtakatifu, pengine mfiadini pia.

Sikukuu yake huadhimishwa katika tarehe 18 Julai[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.