Emi Koussi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Volkeno ya Emi Koussi katika safu ya Tibesti.

Emi Koussi ni mlima mrefu zaidi wa Chad (Afrika).

Urefu wa volkeno hiyo unafikia hadi mita 3,445 juu ya usawa wa bahari.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]