Elias John Kwandikwa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Elias John Kwandikwa alikuwa mwanasiasa Mtanzania, mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Alichaguliwa kuwa mbunge wa Ushetu kwa miaka 20152020 [1] akarudishwa mwaka 2020 na kuteuliwa kuwa Waziri wa Ulinzi[2].

Alifariki dunia akiwa Dar es Salaam, katika Hospitali ya taifa ya Muhimbili, tarehe 2 Agosti 2021. [3][4]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017
  2. "Magufuli’s unveils his cabinet 30 days after taking oath". The Citizen (kwa Kiingereza). Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-01-11. Iliwekwa mnamo 2020-12-25.  More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help)
  3. https://www.malunde.com/2021/08/Kwandikwa.html
  4. https://peoplepill.com/people/elias-kwandikwa/