Douala

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu ya Uhuru jijini Douala.
Douala katika ramani ya Kamerun.

Douala ni mji mkubwa wa Kamerun ukiwa na wakazi 1,338,082 (2021[1][2]).

Uko kilometa 24 kutoka bahari kwenye mdomo mpana wa mto Wouri unaokomea kwenye Ghuba ya Guinea ya Atlantiki. Bandari yake inaifanya kuwa kitovu cha uchumi wa Kamerun.

Wakati wa ukoloni wa Kijerumani ulikuwa mji mkuu wa Kamerun hadi mwaka 1907.

Mto Wouri[hariri | hariri chanzo]

Douala ina mto Wouri.

Usafiri[hariri | hariri chanzo]

Unafanyika kwa:

Dini[hariri | hariri chanzo]

Ni hasa:

Bandari huru[hariri | hariri chanzo]

Douala ina bandari.

Sanaa[hariri | hariri chanzo]

Kazi za sanaa zinapatikana jijini.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "Population of cities in Kamerun". World Population Review. Iliwekwa mnamo May 23, 2021.  Check date values in: |accessdate= (help)[dead link]
  2. "Kamerun". GEO Names. Iliwekwa mnamo May 23, 2021.  Check date values in: |accessdate= (help)
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Douala kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.