Dimitri wa Thesalonike

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha takatifu ya karne ya 15 ya Mt. Dimitri Solunski, (Russian State Museum, Saint Petersburg, Urusi).

Dimitri wa Thesalonike (kwa Kigiriki Άγιος Δημήτριος της Θεσσαλονίκης; alifariki 306 hivi) alikuwa Mkristo wa mkoa wa Panonia (leo nchini Kroatia) ambaye alifia dini yake katika dhuluma ya Kaisari Dioklesyano.

Kwa sababu hiyo tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa katika tarehe mbalimbali; kwa Wakatoliki ni tarehe 9 Aprili[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.