Desideri wa Vienne

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Desideri wa Vienne (kwa Kifaransa: Didier; alifariki 607) alikuwa askofu mkuu wa mji huo na mwanahistoria ambaye aliuawa kwa kupigwa mawe, kwa agizo la malkia Brunhilda wa Austrasia aliyemchukia kwa makaripio yake [1][2][3][4].

Kabla ya hapo alikuwa ameondolewa madarakani kwa kutia shaka uhalali wa watoto wa malkia huyo [5].

Papa Gregori I alimlaumu kwa barua kutokana na juhudi zake za kuelimisha mapadri wake hata kuhusu fasihi[6].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi[7] kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 26 Mei[8].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. E.g. Bryan Ward-Perkins, The Fall of Rome: And the End of Civilization (2006), p. 166; Jacques Fontaine, "King Sisebut's Vita Desiderii and the Political Function of Visigothic Hagiography." in Visigothic Spain (1980). ed. Edward James
  2. Jo Ann McNamara, John E. Halborg, E. Gordon Whatley, Sainted Women of the Dark Ages (1992), p. 121.
  3. May 23. Jalada kutoka ya awali juu ya 2011-10-12. Iliwekwa mnamo 2020-05-17.
  4. https://www.santiebeati.it/dettaglio/54500
  5. Edward James, The Origins of France (1982), p. 139.
  6. Gian Biagio Conte, Latin Literature: A History (1994 translation), p. 718.
  7. Ὁ Ἅγιος Δεσιδέριος ὁ Ἱερομάρτυρας Ἐπίσκοπος Βιέννης. 23 Μαΐου. ΜΕΓΑΣ ΣΥΝΑΞΑΡΙΣΤΗΣ.
  8. Martyrologium Romanum
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.