Daraja la Mkapa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Daraja la Mkapa
English: Mkapa Bridge
Majina mengineDaraja la Rufiji
YabebaBarabara kuu ya B2 (leni 2)
YavukaMto Rufiji
MahaliIkwiriri, Tanzania
MmilikiSerikali ya Tanzania
Mbunifu wa mradiH. P. Gauff Ingenieure GmbH & Co (Ujerumani)
Urefumita 970.5
MjenziImpresa Ing. Fortunato Federici S.p.A. (Italia)
Gharama za ujenziUS$ 30 milioni
Kilizinduliwa2 Agosti 2003
Anwani ya kijiografia8°0′46″S 38°58′10″E / 8.01278°S 38.96944°E / -8.01278; 38.96944
Daraja la Mkapa is located in Tanzania
Daraja la Mkapa
Mahali ya daraja nchini Tanzania

Daraja la Mkapa ni daraja lenye urefu wa mita 970 linalovuka mto Rufiji nchini Tanzania. Liko katika Mkoa wa Pwani ya Ikwiriri na Nyamwage. Linapitiwa na barabara ya B2[1].

Daraja lilifunguliwa rasmi na rais Benjamin Mkapa kwenye tarehe 2 Agosti 2003 likachukua nafasi ya kivuko cha awali.

Marejeo

  1. Top longest bridges in Africa, tovuti ya CCE News ya tar. 2 Januari 2018
  • Milledge, S.A.H. and Kaale, B.K. (2005). Bridging the Gap - Linking timber trade with infrastructure development in Southern Tanzania: Baseline data before completion of the Mkapa Bridge. TRAFFIC East/Southern Africa, Dar es Salaam, Tanzania. ISBN: 0-9584025-9-0, online hapa