Chelyabinsk

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Chelyabinsk

Chelyabinsk ni mji wa Urusi upande wa mashariki wa milima ya Ural na makao makuu ya mkoa wa Chelyabinsk Oblast.

Mji huwa na wakazi zaidi ya 1,100,000 kuna viwanda vingi.

Jina la mji lilitajwa mara ya kwanza mwaka 1736 wakati ule kulikuwa na boma la kirusi katika pori tu. Likanendelea kuwa mji mdogo lakini baada ya kuungwa na reli tangu karne ya 20 ilikua. Vita Kuu ya Pili ya Duni ilileta kuhamishwa kwa viwanda vya kijeshi hapa kwa sababu magharibi ya Urusi ilitekwa na Ujerumani wakati wa vita. [1].

Tarehe 15 Februari 2013 kimondo kilipasuka juu ya Chelyabinsk na kusababisha kiasi cha uharibifu[2].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Invest in Ural. Invest in Ural (1933-06-20). Jalada kutoka ya awali juu ya 2013-02-24. Iliwekwa mnamo 2013-02-14.
  2. 400 INJURED BY METEORITE FALLS IN RUSSIAN URALS. AP. Jalada kutoka ya awali juu ya 2013-02-18. Iliwekwa mnamo 15 February 2013.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Kigezo:Commons and category