Ch

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Alfabeti ya Kilatini
(kwa matumizi ya Kiswahili)
Aa Bb Cc ch Dd
Ee Ff Gg Hh Ii Jj
Kk Ll Mm Nn Oo Pp
Qq Rr Ss Tt Uu Vv
Ww Xx Yy Zz

Ch ni alama ya tatu katika alfabeti ya Kiswahili cha kisasa inayofuata menginevyo utaratibu wa alfabeti ya Kilatini.

Ch ni maungano ya herufi mbili za Kilatini ambazo hutazamiwa kama herufi moja katika mwandiko wa Kiswahili. Kilatini chenyewe hakijui umoja huu lakini ni kawaida pia katika lugha mbalimbali

kama sauti ya "tsh"

kama sauti ya (kh)

Kifupi cha CH kwa magari ni alama ya gari kutoka Uswisi (Confoederatio Helvetica)