Bunge la Kenya

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Majengo ya Bunge la Kenya na Uhuru Park, Nairobi.

Bunge la Kenya ni bunge lenye vyumba viwili[1] ambavyo ni:

Kabla ya katiba mpya, bunge lilikuwa la chumba kimoja.

Bunge hili lilianzia muhula wake wa kumi na mbili tarehe 8 Agosti 2017.

Wajumbe hukutana katika majengo ya bunge, Nairobi.

Angalia pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Establishment and role of Parliament". parliament.go.ke. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2013-04-01. Iliwekwa mnamo 30 March 2013.  Check date values in: |accessdate= (help)

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]