Bruno wa Segni

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Bruno.
Mchoro wa mwaka 1630 hivi ukionyesha Mt. Bruno akiongea na Papa Urban II. Ni mmoja kati ya Mapapa wanne ambao Bruno alikuwa mshauri wao.

Bruno wa Segni, O.S.B. (Solero, Italia Kaskazini, 1045 hivi – Segni, Italia ya Kati, 18 Julai 1123) alikuwa padri, mmonaki, halafu askofu wa Segni na kwa muda abati wa Montecassino.[1][2][3][2]

Alishirikiana na Papa Gregori VII na Mapapa wengine watatu katika kurekebisha Kanisa na kwa ajili hiyo aliteseka sana[4].

Hata maandishi yake ya kufafanulia Biblia yanaheshimiwa sana.

Tarehe 5 Septemba 1181 Papa Lucius III alimtangaza kuwa mtakatifu.[1]

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 18 Julai[5]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. 1.0 1.1 Saint Bruno of Segni. Saints SQPN (23 August 2017). Retrieved on 6 October 2017.
  2. 2.0 2.1 Salvador Miranda. Consistory celebrated in 1086 (I). The Cardinals of the Holy Roman Church. Retrieved on 6 October 2017.
  3. St. Bruno. New Advent. Retrieved on 6 October 2017.
  4. https://www.santiebeati.it/dettaglio/63375
  5. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.