Boeing 707

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
picha ya boeing 707

Boeing 707 ni ndege ya saizi ya kati, ya masafa marefu na yenye injini nne iliyotengenezwa na kampuni ya Boeing Commercial Airplanes mnamo mwaka 1958 hadi mwaka 1979.

Ina uwezo wa kubeba abiria 140 hadi 219. Ni ndege ya kwanza katika kampuni hiyo.

Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.